TEC YALAANI KUSHAMBULIWA KWA PADRE KITIMA


Waraka wa Baraza la Maaskofu katoliki Tanzania (TEC) umesema Padre Kitima alipata majeraha makubwa na kuwa amelazwa katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.

Katika waraka wake, TEC imelitaka jeshi la polisi na vyombo vingine kuchukua hatua za haraka kuwabaini na kuwakamata wale wote waliohusika katika kupanga na kutekeleza uhalifu huo na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.

''Uchunguzi wa tukio hilo ufayike haraka na taarifa zitolewe kwa uwazi bila upotoshaji wowote ili kurudisha imani na matumaini kwa watu wetu''. Ilisema sehemu ya waraka huo.

Waraka wa TEC

Comments

Popular posts from this blog

BREAKING NEWS: MKURUGENZI WA TANESCO AFARIKI BUNDA KWA AJALI

MIAKA 30 JELA NGUNO WA KWIMBA KWA KUMBAKA KIZIWI

TANZANIA YAISHUKURU ITALIA KUHUSU SGR