KUNDI LA FISI WAVAMIA FAMILIA


Kutokea mtaawa  Mahina kata ya Somanda Bariadi mkoani Simiyu Fisi wameua kondoo 21 huku wengine hawajulikani waliopo.


Akielezea kutokea kwa tukio hilo  Bwana Mageni Maduhu majira ya saa tano usiku nyumbani kwake ambapo amesema kuwa alisikia kundi la Fisi wakilia nje ya nyumba yake alipoamua kutoka nje na kuwakuta kondoo huku fisi wakakimbia baada ya kumuona.


Aidha Bw. Maduhu ameongeza kuwa alianza kuwafukuza na kukutana na fisi wengine wengi, hivyo akaamua kurudi na alipoangalia kwenye Zizi la kondoo akakuta kondoo 21 wamekufa, huku tisa wakiwa hawaonekani walipo.

Comments

Popular posts from this blog

BREAKING NEWS: MKURUGENZI WA TANESCO AFARIKI BUNDA KWA AJALI

MIAKA 30 JELA NGUNO WA KWIMBA KWA KUMBAKA KIZIWI

TANZANIA YAISHUKURU ITALIA KUHUSU SGR