MVUA NA UPEPO ZABOMOA NYUMBA NA MIUNDOMBINU MUSOMA

 Mvua iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo, katika mji wa Musoma mkoani Mara imezua na kubomoa nyumba, shule, vituo vya mafuta pamoja nyumba za biashara, baadhi ya majengo ya Airport na miundombinu ya umeme ambapo idadi kamili bado haijafahamika huku ikijeruhi wananchi kadhaa na kusababisha wananchi kukosa makazi na kuharibika kwa mali zao.


Comments

Popular posts from this blog

BREAKING NEWS: MKURUGENZI WA TANESCO AFARIKI BUNDA KWA AJALI

MIAKA 30 JELA NGUNO WA KWIMBA KWA KUMBAKA KIZIWI

TANZANIA YAISHUKURU ITALIA KUHUSU SGR