KATIBU WA CCM AFARIKI DUNIA


 Na Paschal D.Lucas

Taarifa kutokea Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa katibu wa chama  cha Mapinduzi (CCM )Wilaya ya Rombo Mary Sule amefariki dunia usiku wa Machi 18, 2025 katika Hospitali ya Huruma wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, muda mfupi tu baada ya kutoka kwenye Chumba cha Upasuaji.


Marehemu Mary Sule atakumbukwa kwa ujasiri, uchapakazi pamoja na maono na namna alivyokuwa anawashauri viongozi mbalimbali katika wilaya hiyo, kuachana na tabia chonganishi inayodhoofisha maendeleo, huku akiwasisitiza viongozi kufuata Ilani ya Chama Cha Mapinduzi katika kutatua changamoto zinazowakabili wananchi.

Kwa taarifa zaidi tutawalete.....

Comments

Popular posts from this blog

BREAKING NEWS: MKURUGENZI WA TANESCO AFARIKI BUNDA KWA AJALI

MIAKA 30 JELA NGUNO WA KWIMBA KWA KUMBAKA KIZIWI

TANZANIA YAISHUKURU ITALIA KUHUSU SGR