BREAKING NEWS:BALOZI JUMA MWAPACHU


 Na Paschal D.Lucas

TANZIA: Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kada wa CCM, Balozi Juma Mwapachu amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.


Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi katika mitandao ya kijamii.

Comments

Popular posts from this blog

BREAKING NEWS: MKURUGENZI WA TANESCO AFARIKI BUNDA KWA AJALI

MIAKA 30 JELA NGUNO WA KWIMBA KWA KUMBAKA KIZIWI

TANZANIA YAISHUKURU ITALIA KUHUSU SGR